* E: Matokeo yamezuiwa, mpaka upatikane uthibitisho wa mtahiniwa kulipa ada ya Mitihani.
* I: Matokeo HAYAJAKAMILIKA kutokana na mtahiniwa kukosa alama za Upimaji Endelevu (CA) katika masomo yote aliyofanyia mtihani.
I: Matokeo hayajakamilika kutokana na kukosekana kwa alama za Upimaji Endelevu (CA) wa mtahiniwa katika somo moja au zaidi alilofanyia mtihani lakini si yote.
* W: Matokeo yamezuiwa/yamefutwa au kubatilishwa kutokana na ushahidi wa mtahiniwa kushiriki katika mambo ya kukosa uaminifu au ukiukaji wa taratibu kabla, wakati au baada ya mitihani..
* T: Matokeo yamesitishwa kutokana na mtahiniwa kujibu mtihani wa somo moja au zaidi ambalo hakusajiliwa (mtahiniwa mwizi).
ABS: Watahiniwa wanaoshindwa kufanya mitihani.
FLD: Mtahiniwa ameshindwa Mtihani.
X: Mtahiniwa hakutokea kufanya mtihani kwa somo alilosajiliwa.

Comments
Post a Comment